Saturday, January 17, 2015

MATOKEO YA KIDATO CHA PILI


Baraza la mithani nchini limetangaza matokeo ya kidato  cha pili yaliyofanyika mwaka 2014 huku idadi kubwa ya  wanafunzi wakiwa wamefaulu na kujiunga na kidato cha  tatu, ikiongezeka kwa asilimia 92.66 ikilinganishwa na  mwaka 2013 ambapo idadi ya wanafunzi waliofaulu  ilikuwa asilimia 89.34 matokeo hayo yametangazwa leo jijini Dar es salaam na  katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani nchini NECTA Dr  Charles E Msonde wakati wa mkutano na waandishi wa habari ambapo alisema watahiniwa waliofanya mtihani huo uliofanyika novemba mwaka jana ilikuwa 405,204 sawa na asilimia 89.40. Kati ya hao wasichana walikuwa 233.834 sawa na asilimia 51.60 na wavulana walikuwa 219.357 sawa na asilimia 48.40

Dkt Msonde alisema kati ya watahiniwa hao waliofaulu na kupata alama za kuweza kuendelea na kidato cha tatu walikuwa 375,434 sawa na asilimia 92.6 ya watahiniwa wote waliofanya mtihani huo ambapo wasichana walikuwa 195,328 sawa na asilimia 92.8 na wavulana 180106 sawa na asilimia 92.69

Aidha Dokta Msonde aliwataja watahiniwa ambao wamepata alama ambazo hawawezi kuendelea na kidato cha tatu na itawalazimu kurudia kidato cha pili ambapo wapo 29770 sawana asilimia 7.34

Vilevile ameyataja masomo waliyofanya vizuri watahiniwa hao ni uraia, historia, kiswahili, kingereza na jeografia. Pia kwa masomo walifanya vibaya ni Hisabati, Kemia, kilimo, somo la biashara pamoja, fizikia pamoja na jeografia.

Kwa upande wa shule za wilaya yangu, hasa za mjini hapo ambazo ni pamoja na NGUDU SECONDARY SCHOOL na BUJIKU SAKILA kuna baadhi ya matokeo ya wanafunzi waliofanya vizuri  zaidi kama inavyooneshwa hapo chini kwenye majedwali  

NGUDU SECONDARY SCHOOL

School Overall Grade Summary   

A
B+
B
C
D
E
F
TOT
F
1
16
30
79
186
223
77
612
M
21
61
59
97
170
143
58
609
TOT
22
77
89
176
356
366
135
1221

N.B: NI KWA WALIFANYA VIZURI ZAIDI TU

NO
NAME
SEX
CIV
HIST
GEOG
KISW
ENG
PHYS
CHEM
BIO
B/MATH
GPA
CLASS















WASICHANA
0002
AGATHA COSMAS EMMANUEL
F
B+
B
B
B
B+
C
C
B
D
3.1
MERIT
0003
AGATHA MARTINE CHAGULA
F
B+
B+
B
C
C
D
D
C
F
2.6
MERIT
0015
BEATHA NYAMBWA SYLVESTER
F
B+
B+
C
C
B+
C
C
C
D
2.9
MERIT
0043
JOYCE FAUSTINI MAYALA
F
B+
B+
B
B
B+
C
B
B+
D
3.6
DISTINCTION
0050
LUCIA ERNEST PETER
F
B+
B+
C
C
A
D
D
B+
F
3.1
MERIT
0058
MILEMBE EDWARD JOSEPH
F
B+
B
B
D
B
D
C
B
F
2.7
MERIT


WAVULANA
0083
ANDREA HERBERT LWEHUMBIZA
M
B+
B+
B+
B
B+
B
B
B+
C
3.7
DISTINCTION
0094
ELISHA SAMSON LUPIMO
M
B
B+
B
D
C
B
C
C
F
2.7
MERIT
0096
EMMANUEL MARTIN STEPHANO
M
B+
A
A
C
C
B
B
C
E
3.4
MERIT
0097
EMMANUEL TAMBILIJA NDETELWA
M
B
B+
B+
C
B
B
B+
B
C
3.4
MERIT
0103
GEORGE MATHIAS MASALU
M
B+
B+
B+
C
B
B+
B+
B
C
3.7
DISTINCTION
0105
IVAN PASCHAL BUNZALI
M
C
B+
B
C
B
E
C
C
E
2.6
MERIT
0106
JACKSON JOHANES MASORO
M
B+
B+
B+
C
B+
B
B+
B
B
3.7
DISTINCTION
0113
KAREBU GERALD RICHARD
M
B
A
B+
C
A
C
B+
B+
F
3.9
DISTINCTION
0115
KISENA SHIGELA NDETELWA
M
B+
A
B+
C
B+
C
B+
B+
C
3.9
DISTINCTION
0118
MABULA MALELE NDEGE
M
A
A
A
B
A
B+
B+
B+
B
4.6
DISTINCTION
0119
MAJIGWA TANO KONYA
M
B+
B+
B+
C
B
D
B
C
C
3.1
MERIT
0120
MICHAEL ROBERT MICHAEL
M
A
A
A
C
B+
C
B
B
D
3.9
DISTINCTION
0122
MKAPA MASANJA JOHN
M
B+
B+
B+
C
C
D
B
B
F
3.1
MERIT
0133
PAUL MAJALA MSANGWA
M
B+
C
B+
C
B
D
C
C
D
2.7
MERIT
0135
PETER RENATUS MAJIBA
M
B+
B+
C
C
B
B+
B
C
E
3.1
MERIT
0136
PHILIP PETER MBOGO
M
B+
B
B+
C
B
C
B
B
D
3.1
MERIT
0139
REVOCATUS MASHENENE MISONGOMA
M
A
A
B+
C
A
B+
A
B+
B+
4.6
DISTINCTION
0142
ROBERT SANNE MATUNDU
M
A
B+
B
B
B
C
B
C
F
3.3
MERIT
0149
STEVEN GEORGE CHARLES
M
A
A
A
B
A
B+
B+
B+
B+
4.6
DISTINCTION




BUJIKU SAKILA

CENTRE: S3326 - BUJIKU SAKILA
School Overall Grade Summary   

A
B+
B
C
D
E
F
TOT
F
2
18
31
47
64
88
236
486
M
2
31
51
56
68
88
91
387
TOT
4
49
82
103
132
176
327
873

WASICHANA
0002
ASHA MOHAMED AHMAD
F
B+
A
A
B
B+
C
B
B
F
3.9
DISTINCTION
0013
ELIZABETH MAYANGA MANYILIZU
F
B+
B+
C
B
B
E
D
D
F
2.6
MERIT
0016
EVA MASHAURI MASANJA
F
B+
B
B
C
B
C
B
D
D
2.9
MERIT
0028
HAPPYNESS KASANGA RICHARD
F
B
B+
B
B
C
E
D
C
F
2.6
MERIT
0045
MECKTRIDA MAJID ALLY
F
B+
B
B+
C
B
C
B+
C
E
3.1
MERIT

WAVULANA
0081
ABEL NESTORY ONGUKO
M
B+
B+
B+
B
B+
B
B+
C
B+
3.9
DISTINCTION
0083
BENEDICTOR NGAGATA GEORGE
M
B
B
B
B
B
D
D
B
F
2.7
MERIT
0085
DANIEL ROBERT JULIUS
M
B+
B+
B+
C
B+
D
B
C
F
3.3
MERIT
0095
EMANUEL JAMES KISENA
M
B+
B+
B
C
B
D
B
C
C
3.0
MERIT
0102
GEORGE MIHAMBO SHIJA
M
B+
A
B+
B
B+
B+
B+
B
B+
4.1
DISTINCTION
0107
JEREMIA JACKSON JOHN
M
B
B+
B
B
B
D
B
D
F
2.9
MERIT
0135
PASCHAL WILLIAM
M
B+
B+
B+
B
A
D
C
B+
D
3.7
DISTINCTION
0148
TIMOTHEO MUSA WILLIAMU
M
B+
B+
B+
C
B
B
B
C
E
3.3
MERIT

http://necta.go.tz/matokeo2015/05_S0335-0.htm NGUDU SEC

http://necta.go.tz/matokeo2015/05_S3326-0.htm BUJIKU SAKILA SEC

http://necta.go.tz/matokeo2015/05_S0239-0.htm NYAMILAMA SEC

http://necta.go.tz/matokeo2015/05_S1521-0.htm IGONGWA SEC

http://necta.go.tz/matokeo2015/05_S1511-0.htm MWANG'HALANGA

No comments:

Post a Comment

Previous Page Next Page Home