Tuesday, December 23, 2014

MATOKEO YA DARASA LA SABA WILAYA YA KWIMBA

Matokeo ya darasa la saba yalitangazwa hivi majuzi na kutolewa tathmini ya ufaulu wa wanafunzi waliofanya mtihani huo, ikionesha ufaulu umeongezeka ni katika utekelezaji wa sera ya MATOKEO MAKUBWA SASA(BIG RESULT NOW).

Nimejaribu kupitia tovuti ya baraza la mitihani ili kupata matokeo kamili ya wilaya ya kwimba, kwa kuangalia shule zilizoongoza na zilizoshika mkia katika wilaya kwa ujumla ambapo jumla ya shule ni 151 kama ifuatavyo.

SHULE KUMI ZILIZOONGOZA KWENYE UFAULU:

  1. KIMIZA
  2. MWABARATULU
  3. KADASHI
  4. ICHEJA
  5. BUDUSHI
  6. MWAGI
  7. NYAMBITI
  8. GULUNG'WA
  9. MALYA
  10. NYAMILAMA
SHULE TANO ZILIZOBURUZA MKIA

147.NG'HULIKU
148. MWANG'HALANGA
149.KILIGU
150.SANGA

2 comments:

Previous Page Next Page Home