Friday, June 12, 2015

Makadirio ya Idadi ya Wapiga Kura kwa Wilaya ya Kwimba Mwaka 2015


Makadirio ya idadi ya watu wenye umri wa kupiga kura katika mkoa
wa Mwanza ni (1,403,743). Haya ni makadirio ya idadi ya watu ambao
watakuwa na umri wa miaka 18 na zaidi hadi kufikia uchaguzi wa
mwaka 2015.

Mkoa wa Mwanza una majimbo 9 ya uchaguzi. Jimbo la Buchosa
linaongoza kwa kuwa na idadi kubwa zaidi ya watu wenye umri wa
kupiga kura (217,733) likifuatiwa na Jimbo la Nyamagana (210,220).
Jimbo lenye idadi ndogo zaidi ya watu wenye umri wa kupiga kura
ni Sumve ambalo lina watu 87,993.

Hapa chini imewekwa orodha ya majimbo ya wilaya ya kwimba, kata zake, makadirio ya idadi ya watu mwaka 2015 na makadirio ya idadi ya watu wenye umri wa miaka 18 na zaidi



Kusoma idadi kamili ya Makadirio ya Idadi ya Wapiga Kura kwa Mkoa, Mwaka 2015
SOMA HAPA=>>>>>> FUNGUA HAPA

No comments:

Post a Comment

Previous Page Next Page Home