Sunday, February 15, 2015

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2014


Akitangaza matokeo ya Kidato cha Nne ya mwaka 2014  jijini Dar es salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dkt Charles Msonde amesema kati ya waliofaulu, wasichana ni 89,845 sawa na asilimia 66.61 wakati wavulana ni 106,960.

   Akizitaja shule kumi bora kwa ufaulu, Dkt Msonde amesema shule hizo ni;

       1.  Kaizirege mkoa wa Kagera
       2.  Mwanza Alliance mkoa wa Mwanza
       3. Marian Boys mkoa wa Pwani
       4.  St. Francis Girls mkoa wa Mbeya
       5. Abbey mkoa wa Mtwara
       6. Feza Girls mkoa wa Dar es salaam
      7. Canossa Mkoa wa Dar es salaam
      8. Bethel sabs Girls mkoa wa Iringa
      9. Marian Girls mkoa wa Pwani
      10. Feza Boys mkoa wa Dar es salaam.


     Shule 10 za mwisho ni

       1. Manolo mkoa wa Tanga
       2. Chokocho mkoa wa Pemba
       3. Kwalugulu mkoa wa Tanga
       4. Relini mkoa wa Dar es salaam
       5. Mashindei mkoa wa Tanga
       6. Njelekela Islamic Seminary mkoa wa Kigoma
       7. Vudee mkoa wa Kilimanjaro
        8. Mnazi mkoa wa Tanga
       9. Ruhembe mkoa wa Morogoro
      10. Magoma mkoa wa Tanga.

      Dkt Msonde pia ametaja watahiniwa 10 waliofanya vizuri kuwa ni

       1. Nyakaho Marungu kutoka Baobab Pwani
       2. Elton Sadock Jacob kutoka Feza Boys Dar es salaam
       3. Samwel M Adam kutoka Marian Boys Pwani
       4.Fainess John Mwakisimba kutoka kutoka St Francis Girls Mbeya
       5. Mugisha Reynold Lukambuzi kutoka Bendel Memorial Kilimanjaro
       6. Paul W Jijimya kutoka Marian Boys Pwani
       7. Angel Lundgreen Mcharo kutoka St Francis Girls Mbeya
       8. Atuganile Cairo Jimmy kutoka Canossa
       9. Jenifa Lundgreen Mcharo kutoka St Francis Girls Mbeya
      10. Mahmoud Dadi Bakili kutoka Feza Boys


  Kwa upande wa shule za wilayani Kwimba baadhi za matokeo yao kwa ujumla ni kama ifuatavyo






No comments:

Post a Comment

Previous Page Next Page Home