Thursday, January 21, 2016

MCHANGANUO WA WABUNGE KATIKA KAMATI ZA BUNGE LA KUMI NA MOJA

MCHANGANUO WA WABUNGE KATIKA KAMATI ZA BUNGE LA KUMI NA MOJA




Wabunge wa majimbo ya KWIMBA na SUMVE wilaya ya KWIMBA wamepata nafasi katika kamati hizo za kudumu za bunge ambapo;

Mbunge wa Kwimba, MH Mansoor Shanif Hirani yupo kwenye kamati namba 14 ya MIUNDO MBINU

Mbunge wa SUMVE Ndugu Richard Mganga Ndasa yupo kwenye kamati  namba 20 ya “UWEKEZAJI WA MITAJI YA UMMA”

Orodha kamili ya kamati zote 20 na wajumbe wake unaweza kuipata kupitia link hii




No comments:

Post a Comment

Previous Page Next Page Home